Video hii inawaonesha wasanii, Izzo Bizness, Quick Rocka na Mangwea wakiwa katika Studio za Clouds FM katika kipindi Cha XXL cha mchana wakati wakitambulisha track mpya ya Izzo Bizness inayofahamika kama BALL PLAYER...
Jamaa walifanya vyema sana kwenye interview hiyo na B Dozen, Ma-champaign, freestyles na fun nyingine zilizo-happen....
Icheck mwenyewe hapa chini...http://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=YqXxfggzSI4

