Pages

Thursday, January 31, 2013

Breaking News: Sumalee Afiwa Na Baba Yake Mzazi...


 Msanii kutoka hapa nchini, Sumalee au maarufu kama "Mzee wa Hakunaga" amefiwa na baba yake mzazi masaa machache yaliyopita.
      Sumalee ambae ni msanii kutoka Tanzania anaefanya shughuli zake za kimuziki akitamba na ngoma zake kadhaa kali kama "HAKUNAGA" na nyinginezo amekutwa na msiba huu huku yeye akiwa nchini Uingereza katika kazi zake za muziki.
Sumalee pia alimpoteza mama yake mzazi akiwa nchini Marekani kikazi.