Pages

Thursday, January 31, 2013

Shakira Ajifungua Mtoto Wa Kiume...

 Nyota wa pop kutokea nchini Colombia, Shikara hatimaye jana amejifungua mtoto wa kiume mjini Barcelona.Shakira ametoa taarifa hizo kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema kuwa wanafuraha sana yeye na mumewe kwa kufanikiwa kupata mtoto wa kiume mbae wamempa jina la Milan Pique Mebarak.
Hongera sana mwanadada Shakira kwa kupata mtoto...