Pages

Tuesday, July 2, 2013

CHECK BANDA LA VODACOM KATIKA VIWANJA VYA SABASABA


Hili ndilo Banda la Vodacom linavyo onekana kwa nje katika viwanja vya Sabasaba.
Hili ndilo Banda la Vodacom linavyo onekana kwa nje katika viwanja vya Sabasaba.
1048473_613003215390731_1711101325_o
Afisa wa Vodacom akimueleimisha moja ya wateja waliojitokeza kupata huduma katika banda la Vodacom lililopo katika maonesho ya 37 ya sabasaba jijini Dar es Salaam, Kampuni hiyo sasa imewawezesha wateja wake kulipia bidhaa kupitia huduma ya M pesa katika maonyesho hayo.
Meneja wa Mradi wa kuwawezesha wananawake wa “MWEI” Grace Lyon akiwaelimisha baadhi ya wateja waliotembelea banda la Vodacom katika maonesho ya 37 ya sabasaba ,namna ya mradi huo unavyofanya kazi kwa kuwawezesha wajasiriamali wadogo wanawake kupata mikopo isiyokuwa na riba mradi huo hadi sasa umewawezesha wanawake zaidi ya 7,000.
Meneja wa Mradi wa kuwawezesha wananawake wa “MWEI” Grace Lyon akiwaelimisha baadhi ya wateja waliotembelea banda la Vodacom katika maonesho ya 37 ya sabasaba ,namna ya mradi huo unavyofanya kazi kwa kuwawezesha wajasiriamali wadogo wanawake kupata mikopo isiyokuwa na riba mradi huo hadi sasa umewawezesha wanawake zaidi ya 7,000.

 Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania walioko katika maonesho ya 37 ya sabasaba jijini Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja tayari kabisa kwa kutoa huduma kibandani hapo.

Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania walioko katika maonesho ya 37 ya sabasaba jijini Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja tayari kabisa kwa kutoa huduma kibandani hapo.