Pages

Monday, April 29, 2013

PHOTOS : Baba Yake Chris Brown Atoa Sababu Ya Kutokutaka Chris Brown Na Rihanna Kurudiana ... Check Picha Hizi Hapa ..


Baba wa msanii maarufu nchini Marekani na duniani, CHRIS BROWN hivi karibuni ameonekana kukerwa na picha za girlfriend wa mwanae, yaani RIHANNA na kusema kuwa hii ni moja ya sababu hakupenda mwanadada huyu kurudiana na mwanae ...
CLINTON BROWN amefunguka na kusema tabia ya RIHANNA kuonekana anakunywa na kuparty si sawa na anaona ni afadhali wasingerudiana ... This wouldn't turn back RIHANNA as hivi karibuni aliendelea kuweka picha katika ukurasa wake wa Instagram kama inavyoonekana hapo juu na hapa chini pia ...
Muonekano huu wa RIHANNA akiwa analewa katika mazingira kama haya, yalimsababisha CLINTON BROWN kuona kuwa msichana huyu hamfai mwanae na pia akazungumza na kusema mwanae anastahili kuwa na msichana mrembo na mtulivu kama JORDIN SPARKS na kuongeza kuwa ni mzuri sana ...