Masaa machache yaliyopita, Annie aliandika kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema kuwa ndoa hiyo itafungwaDubai.
Baadhi ya mastar kutoka Nigeria ambao watahudhuria harusi hiyo ni Don Jazzy, D'banj, Banky W, P-Square na wengine wengi.
It`s all about Entertainment across the global through Hit Music,Movie,Games,Photos,Fashion,.Stay in tunes all updates around the world.