Tiwa amevishwa pete hiyo na mchumba wake ambae pia ni meneja wake kimuziki aitwae Tee Billz ambae amekua nae kwenye mapenzi mazito ya siri kwa kipindi kirefu sasa.
Tee Billz amemvisha pete msanii huyo katika siku yake ya kuzaliwa ambapo kwa taarifa nyingine kutoka kwa wawili hao ni kuwa watafunga ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.
Ona picha za tukio hilo hapa chini:
