Simu hiyo pia ina ubora mkubwa wa picha ambao ni High Definition, nyembamba sana yenye urefu wa inchi 13 pia inatumia mtandao aina ya 4G.
Pia imenakiliwa kuwa ndio simu ya kwanza duniani kote ambayo imetengezwa katika mfumo wa kuzuia maji [Water Proof]. Msemaji wa kampuni hiyo aliongeza kwa kusema kuwa Unaweza kupiga na kupokea simu ukiwa ndani ya maji ila hajui wewe utaongeaje na utasikiaje ukiwa ndani ya maji. Simu hiyo inategemewa kuingia sokoni mwezi wa tatu mwaka huu na kuuzwa Pound 450.
Blog Zinazoanzia na Herufi ya W
-
*1. Wamtaani*
www.wamtaani.com
*2. Wanabidii Blog*
wanabidiiblog.blogspot.com
*3. Watanzania Waishio Nje ya Nchi*
watanzaniaughaibuni.blog...
6 days ago