skip to main |
skip to sidebar
KUPA NA JIMMY WA BONGO MOVIE WAOA,,,
Swahiliwood actors Jimmy and kupa jana waliamua wote kwa pamoja kufunga
ndoa na wachumba wao wa siku nyingi hivyo kufanya sherehe ya ndoa zao
katika siku moja. Jimmy alimuoa Salma na Kupa alimuoa Mary. Many
Swahiliwood celebrities were there to support their fellow actors, actor
Muhsin Awadhi( Dr. cheni) ndiye alikuwa MC wa shughuli hiyo.
Mabwana na mabibi harusi
Licha ya
mastaa wengi kuvaa vizuri na kupendeza lakini Irene Uwoya na Mainda
walikuwa ni miongoni mwa mastaa waliovaa vibaya/worst dressed stars by
exposing sehemu kubwa ya matiti yao. Uwoya ambaye ameshindwa kujirudisha
katika shape yake yenye mvuto tangu ajifungue kwa kujiachia kunenepa
alivaa gauni ambalo halikumpendeza na pia rangi ya gauni haikumkaa
vizuri yeye kama star. Mainda anayedai kuokoka alivaa kigauni kifupi
kilichoonekana kumpa shida katika pose akiwa amekaa huku kikiacha sehemu
ya matiti yake na kuonyesha tatoo zake. Angalia picha hizo.........
Jackline Wolper katika pozi
Irene Uwoya
Jacob Stephen(JB)
Mainda katika kivazi chake
Jenifer Kyaka(Odama)
Salma Jabu(Nisha)
Steve Nyerere