Pages

Thursday, February 28, 2013

Behind The Scene Ya Video Ya Young Killer ''DEAR GAMBE''...


Mwanamuziki wa kizazi kipya kutoka MWANZA, ambaye hivi sasa yupo chini ya usimamizi wa Producer Mona Gangsterkutoka Classic Records, Young Killer ambae anatamba na ngoma yake ya Dear Gambe ambayo amemshirikishaBelle 9, sasa yuko mbioni kuachia kichupa cha ngoma hiyo.
Young Killer ambae ni mmoja wa washindi wa shindano la SUPER NYOTA ya FIESTA (2012) kutoka MWANZA, ana-shoot video hiyo chini ya Director Mejja kutoka SEAN ENT.
Jamaa wame-shoot video hiyo maeneo tofauti tofauti ya jijini Dar na updates ni kwamba inatarajiwa kutoka siku za hivi karibuni.