Pages

Thursday, February 28, 2013

Baada ya Maisha Yake Kuwa Hatarini Tena, Rick Ross Aongezewa Ulinzi Na Polisi...


Rapper kutoka Label ya Maybach Music Group [MMG], Rick Ross ameongezewa ulinzi na jeshi la polisi la New Yorkbaada ya rapper huyo kupata vitisho vya kuuwawa tena kutoka kwa watu wasiojulikana.
Kwa mujibu wa TMZ, rapper Rozay huyo atakuwa na ulinzi wa Masaa 24 kutoka kwa polisi hao wa NY.
Ross anaetamba kwa sasa na album yake ya GOD FORGIVES I DONT na pia mixtape BLACK BAR MITZVAH yupo katika maandalizi ya album yake ya 4 inayokwenda kwa jina la MASTERMIND.