Pages

Wednesday, February 27, 2013

Check Mambo Yalivyokuwa Kwenye London Fashion Week...


Kama ulimiss kuona lile tamasha la London Fashion Week 2013 ambalo lilifanyika wiki iliyokwisha, yaani tarehe 15 hadi 19 mwezi huu.
Tanzania ilibahatika kuingia katika Kumi Bora katika tamasha hilo kubwa duniani.
Check yaliyojiri kwenye tamasha kupitia video hii hapa chini...