- Ngoja nikwambie wasichana hukufikiriaje wakikuona siku ya kwanza.
- 1.Kwanza hutazama tembea yako, kisela au kiheshima ili wajue kama una kazi au la.
- 2.Kama nguo zako zimefubaa unatembea juani, kama hazijanyooshwa basi hata pasi kwako huna.
- 3.Kama viatu vina vumbi moja kwa moja gari huna.
- 4.Kama pesa hutoi kwenye waleti hujazoea kuwa na pesa tena yawezekana hata laki hujawahi kushika.
- 5.Kama hunukii vizuri basi wanawake huwajui vizuri, na hujui romance, hata hug hujawahi kupewa.
- 6.Kama hutunzi nywele zako hata zake hutazigharamia.
- 7.Ukiongea nae muda mrefu na maswali mengi, hata kama hujamtongoza, anajua umempenda.
- 8. Ukimshika au kumgusa popote kwenye maongezi basi unamtaka kimwili.
- 9.Kama mkanda wa suruali na viatu havimachi rangi, hujawa na mwanamke kwa muda mrefu.
- 10. Usipomtazama machoni, yawezekana muongo au hujiamini na unamuogopa.
Majina ya Blog Zinazoanzia na Herufi ya V
-
*1. VOA Sauti ya America *
www.voaswahili.com
*2. Vijimambo*
lukemusicfactory.blogspot.com
4 weeks ago