Pages

Monday, February 11, 2013

Msanii Pekee Kutoka Nigeria Aliyefikisha Idadi Kubwa Ya LIKES Kwenye Fan Page Yake Ya Facebook...

  Msanii wa maigizo ambae pia ni mwanamuziki kutoka nchini Nigeria anaefahamika kama Omotola Jolade, ndiye msanii pekee kutokea nchini humo kuweza kufikisha LIKES millioni moja katika mtandao wa kijamii wa Facebook kupitia fan page yake inayojulikana kama OMOTOLA JOLADE EKIENDE.
Hii ni idadi ya watu wengi walio-like page yake ikiwa inaonyesha ni jinsi gani watu wanavyokubali kazi zake za kisanii anazofanya na kumfuatilia kupitia page hiyo.