Pages

Tuesday, February 5, 2013

Rihanna Kupiga Show Na Bruno Mars Pamoja Na Sting Kwenye Tuzo Za Grammy...


Mwanadada Rihanna pamoja na kuwa ni miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza katika Tamasha la Tuzo za Grammy,lakini imeonekana kuwa atafanya show hiyo pamoja na Bruno Mars na Sting katika jukwaa moja.
Rihanna amechaguliwa katika vipengele kadhaa katika tuzo hizo vikiwemo vya Best Pop Solo Perfomance pamoja naBest Rap/Sung Collaboration.
Mwanadada Beyonce , Prince na Jannifer Lopez pia wameongezwa kuwa watangazaji au washehereshaji wa siku hiyo ya ugawaji wa Tuzo hizo.