Pages

Tuesday, February 5, 2013

Arobaini Ya Marehemu Sajuki Kufanyika Mwezi Huu...


Familia ya aliyekuwa mcheza filamu za hapa nchini [Bongo Movies] marehemu Juma Kilowoko maarufu Sajuki,inakukukaribisha katika siku ya kumaliza msiba wa ndugu yao.
Arobaini ya marehemu Sajuki itafanyika siku ya Jumamosi ya Tarehe 9/2/2013 nyumbani kwake Tabata Bimaambapo dua takatifu itasomwa na pia kutakwa na chakula cha mchana. Wote mnakaribishwa kushiriki...