Pages

Thursday, March 28, 2013

"NILIWAHI MFUMA SINTAH AKIJIUZA MAENEO YA MANZESE"...RAYUU



Katika  kile  kinachoonekana  kuwa  ni  mwendelezo  wa  ugomvi  wa Sintah  na Rayuu, wasanii  hawa  wameendelea  kurushiana  matusi  ya  nguoni  na  kuumbuana  kila  siku......

Sintah aliwahi  mtuhumu  Rayuu  kuwa  ni  kahaba  mwenye  kiwango  na  aliyeshindikana.Tuhuma  hizo  zilikuja  baada  ya picha  za uchi za msanii Rayuu  kuvuja  mtandaoni  zikionesha  makalio  na  matiti  yake.....

Baada  ya  tuhumu  hizo, Rayuu  naye  ameendelea  kufichua  mambo  mengi  kuhusiana na Sintah kwa  kudai  kuwa  Sintah  ni  kahaba  na  haoni  aibu  maana  umri  wake  umeenda....

Rayuu  anadai  kuwa  ukahaba  ulimfanya  Sintah aachwe  na Juma  Nature.Msanii  huyu  ameenda  mbali  zaidi  baada  ya  kudai  kuwa  amewahi  muona  Sintah  kwa  macho  yake  akijiuza  maeneo  ya  Manzese.....

Hiyo  ni  post  ya  Rayuu aliyoitupia  facebook  jana.