It`s all about Entertainment across the global through Hit Music,Movie,Games,Photos,Fashion,.Stay in tunes all updates around the world.
Pages
Tuesday, March 12, 2013
Chris Brown Akivuta Bangi Jukwaani Show Nchini Ghana...
Wiki iliyopita mwanamuziki kutoka marekani maarufu kama Chris Brown alikuwa akipiga show nchini Ghana, na kama unakumbuka tulikuletea video ya baada ya show hiyo kufanyika.
Ingawa na kuwa hairuhusiwi, Chris alionekana kupiga mjani on stage wakati performance ikiendelea.
Tukio hilo limebaki kuwa gumzo hadi sasa ambapo kuna habari pia kuwa nchi ya Ghana kupitia viongozi husika wanamtafuta Chris na kumshtaki kuhusiana na kitendo hicho.
Mastar wengi wa marekani wamekuwa wakifanya hivi katika majukwaa tofauti hasa baada ya kilevi hicho kuruhusiwa kwenye baadhi ya majimbo ya nchi hiyo.
Kesi ya Zumaridi yapangiwa hakimu mpya
-
Hakimu Monica Ndyekobora ameondolewa kusikiliza shauri la jinai namba
12/2022 linalomkabili Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi na wenzake
83 bad...
Cara Terbaik Untuk Menang Judi Sicbo Online
-
Bergabung dalam permainan judi sicbo online yang dapat dimainkan melalui
smartphone, maka tentu saja para pemain bisa melakukan sejumlah taruhan
dengan nya...