Pages

Thursday, March 21, 2013

JACK WOLPER NA RADO WAJIPANGA KUTOKA NA "MAHABA NIUE"



Muigizaji wa filamu mwenye mvuto nchini, Jacquiline Wolper hivi karibuni ataonekana kwenye filamu mpya aliyoigiza na Simon Mwapagata maarufu kama Rado iitwayo Mahaba Niue.



Akiongea na mtandao wa bongomovies, Rado amesema katika kuwapa raha zaidi mashabiki wao, filamu hiyo itatoka na zawadi ya bure ya kalenda.

Filamu hiyo imetayarishwa na Step Entertainment.