Pages

Tuesday, March 26, 2013

Prezzo Kupiga Show Dar Es Salaam Hivi Karibuni...


Ule wakati uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu kwa rapper kutokaKenya maarufu kama Amb Prezzo kuja kupiga show ndani ya jiji la Dar Es Salaam sasa umewadia.
Prezzo anatarajia kupiga show moja katika ukumbi disco wa New Maisha Club, Oysterbay jijini Dar.
Katika show hiyo Prezzo atasindikizwa na baadhi ya wasanii kutokaBongo kama kundi la Shosteez, Stereo, AY, MwanaFA na wengine wengi. Show hii inatarajia kufanyika tarehe 5 April mwaka huu.