Pages

Thursday, March 28, 2013

COMING SOON: Darassa ft. Ditto - Milele...


Baada ya kufanya vizuri na baadhi ya track zake zikiwemo Sikati Tamaa pamoja na Nishike Mkono, sasa rapperDarassa yuko mbioni kuachia ngoma yake nyingine mpya ambayo inakwenda kwa jina la ''MILELE''.
Darassa anatarajia kuiachia ngoma hiyo hivi karibuni ambapo ndani ya ngoma hiyo amemshirikisha mwanamuziki kutokaTHT maarufu kama Ditto.
Pia ngoma hii ni moja kati ya ngoma ambazo zitakuwepo katika album yake ya Sikati Tamaa.